KOCHA WA MWADUI AFARIKI DUNIA

Na Mwandishi Wetu. Shinyanga
Kocha msaidizi wa timu ya Mwadui Fc ya Shinyanga, Jumanne Ntambi amefariki dunia usiku huu baada ya kuanguka bafuni wakati akioga.
Kocha huyo ameanguka na kufariki papo hapo licha ya jitihada za kumwahisha hospitali zilipofanywa lakini madaktari wakathibitisha Ntambi kupatwa na mauti.
Ntambi alikuwa akisumbuliwa na shinikizo la damu na alipewa likizo ingawa jana alienda kuwajulia hali wachezaji wake. Mungu ailaze mahara pema peponi, Amina

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI