Mpiga picha wa Azam Media afariki

Na Mrisho Hassan. Dar es Salaam

Mpiga picha wa televisheni wa kituo cha Azam Tv, Iddy Salum "Mambo" amefariki dunia leo akiwa hospitalini jijini Mwanza alipokuwa akitibiwa.

Idd alikuwa maarufu na kamera yake pembeni ya goli wakati kituo hicho kikirekodi mchezo wa Ligi Kuu au nashindano yoyote yanayorushwa na Azam Tv.

Mpiga picha huyo mara kwa mara amekuwa akikaa upande wa karibu na vyumba vya kubadilishia jezi wachezaji, mbali na kupiga picha, marehemu pia alikuwa mwandishi wa Azam Media.

Mungu amweke mahara pema peponi, Amina

Idd Salum 'Mambo' enzi za uhai wake

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI