Kocha wa Njombe Mji abwaga manyanga

Na Exipeditor Mataruma. Songea

Kocha mkuu wa Njombe Mji FC ya Njombe, Hassan Banyai ameamua kubwaga manyanga baada ya mwenendo mbaya wa timu yake kwenye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara.

Banyai amejiuzuru baada ya timu yake kupoteza mechi zote tatu ilizocheza hadi sasa, kocha huyo aliyewahi kuzinoa Moro United na Majimaji ameamua kuacha kazi ili kumpisha kocha mwingine aweze kuwasaidia.

Njombe Mji FC imefungwa mechi zote tatu za Ligi Kuu Bara, kitendo hicho kimepelekea kocha huyo kujiuzuru ili kulinda heshima yake kwani bado timu hiyo itaendelea kushindana na inaweza ku

Hassan Banyai amebwaga manyanga

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI