NDUDA KUTIBIWA INDIA

Na Ikram Khamees. Dar es Salaam

Mlinda mlango namba mbili wa mabingwa wa Ngao ya Jamii, Simba SC, Said Mohamed Nduda amatazamiwa kupelekwa nchini India kufanyiwa upasuaji wa goti.

Kipa huyo aliumia akiwa mazoezini huko Zanzibar wakati klabu yake ya Simba ikijiandaa na mchezo wa kuwania Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga SC mchezo ambao ulipigwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Taarifa iliyotolewa jana na uongozi wa Simba umesema wanampeleka India kipa huyo bora wa michuano ya Cosafa iliyofanyika nchinj Afrika Kusini

Nduda (Kushoto) akipokea zawadi yake ya kipa bora wa Cosafa

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI