Yanga ilivyozoa mamilioni ya ubingwa VPL

Na Saida Salum. Dar es Salaam

Klabu bingwa Tanzania Bara, Yanga SC jana usiku katika ukumbi wa Mlimani City walitunukiwa tuzo yao ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2016/17.

Yanga walipewa kitita chao cha shilingi Milioni 84 wakiwa kama mabingwa wa msimu huu, huo ni ubingwa wake wa 27 na wa tatu mfululizo kwao

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI