Dogo Mfaume afariki dunia

Na Mrisho Hassan. Dar es Salaam

Habari mbaya kwa mashabiki wa muziki wa miondoko ya Mchiriku hasa kufuatia kifo cha staa aliyetamba na wimbo matata "Kazi yangu ya dukani", Dogo Mfaume.

Taarifa za kuenea kwa kifo chake zilienea mapema leo ila Mambo Uwanjani haijapata undani zaidi na itaendelea kuwajuza mara tu itakapopata habari kamili. Mungu amlaze mahara pema peponi, Amina

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI