Yanga yashindwa kuing' oa Simba kileleni

Na Ikram Khamees. Morogoro

Winga Simon Msuva ameshindwa kuiweka kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kukosa penalti Yanga ikishindwa kuondoka na pointi tatu katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Timu hizo zilitoshana nguvu baada ya kutoka sare tasa ya 0-0 na kuofanya Yanga kuambulia pointi moja inayowasogeza kidogo ikifikisha pointi 53 nyuma ya Simba kwa tofauti ya pointi mbili.

Yanga sasa itakuwa na kibarua kingine Jumatano ijayo itakapocheza na Kiluvya United mchezo wa kombe la Azam Sports Federation Cup maarufu FA Cup

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI