YANGA NA WAARABU TENA

Na Prince Hoza. Dar es Salaam

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Dar Young Africans maarufu Yanga SC wamepangwa tena na timu za Afrika ya Kaskazini katika michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika.

Yanga imepangwa na Moulodia Club Alger ya Algeria katika mchujo wa kufuzu hatua ya makundi inayishirikisha timu 16, Yanga imejikuta ikiangukia michuano hiyo baada ya kutolewa kwenye Ligi ya mabingwa Afrika na Zanaco ya Zambia kwa goli la ugenini.

Yanga imekuwa na bahati mbaya hasa inapokutana na timu za Kiarabu na mara zote imekuwa ikitolewa, kwa maana hiyo Yanga inaweza kuishia hapo kwani matumaini finyu ya kuwang' oa Waarabu

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI