Banda mchezaji bora Simba

Na Salum Fikiri Jr. Dar es Salaam

Kiungo Abdi Hassan Banda amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Klabu ya Simba wa mwezi Februali.

Banda ameshinda tuzo hiyo kwa mara ya kwanza tangu arejee kwenye kikosi cha kwanza, kiungo huyo mrefu anayemudu kucheza nafasi zote za ulinzi amecheza vizuri mwezi Februali na kuiwezesha klabu hiyo kuendelea kukaa kileleni.

Kwa maana hiyo Banda atazawadiwa kitita cha shilingi Laki tano za Kitanzania ambazo hutolewa kwa mchezaji bora wa mwezi, Banda ameshinda tuzo hiyo wakati Laudit Mavugo alishinda pia tuzo kama hiyo Januari

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI