Conte akasirishwa na maneno ya Mourinho

Meneja wa Chelsea Antoine Conte ameonyesha kukasirishwa na maneno ya meneja wa Manchester United Jose Mourinho na kusema yeye hapendi mzaha mzaha.

Mourinho amesikika akisema kuwa Chelsea inacheza kwa kujilinda zaidi na ndio maana ilitoshana nguvu na Burnley ya kufungana 1-1 ikiongoza Ligi ya Primia kwa tofauti ya pointi 10.

Conte amedai Mourinho amekuwa akipenda mzaha na hasa baada ya timu yake ya Man U kushinda 2-0 dhidi ya Watford, Mourinho amewahi kuiongoza Chelsea

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI