ZANZIBAR KUPEWA UWANACHAMA WA KUDUMU CAF

Na Saida Fikiri Jr, Dar es Salaam

Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) linadikiria kuipa uwanachama kamili Zanzibar badala ya huu ilionao sasa wa muda.

CAF katika kikao chake kimepitisha ombi la Zanzibar kuomba uwanachama kwenye Shirikisho hilo, endapo Zanzibar itapewa uwanachama itaweza kushiriki michuano yote inayoandaliwa na CAF.

Kwa sasa Zanzibar inaahiriki michuano ya vilabu peke yake lakini kwenye suala la taifa huungana na Bara kuunda Taifa Stars na zile nyinginezo

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI