Uwanja wa Taifa sasa ruksa Ligi Kuu

Na Saida Salum, Dar es Salaam

Serikali imeuruhusu uwanja wa Taifa uliopo Temeke jijini Dar es Salaam kutumika kwa shughuri za michezo ikiwemo soka.

Taarifa ya ruhusa ya uwanja huo imetolewa na Wizara ya Habari, Michezo, Utamaduni na wasanii na Mhe Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania John Magufuli ndiye aliyetoa msamahs kwa uwanja huo ambao ulifungiwa.

Kwa maana hiyo mechi ya kesho ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Simba na Azam itachezwa kwenye uwanja huo, ikumbukwe mashabiki wa Simba ndio waliosababisha uwanja huo kufungwa baada ya kufanya vurugu kwa kung: oa viti walipocheza na mahasimu wao Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI