Shekhan Rashid apiga bao lingine Sweden

Wakati mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Thomas Ulimwengu akienda nchini Sweden kucheza soka la kulipwa katika Klabu moja ya Ligi Kuu, kiungo wa zamani wa Simba Shekhan Rashid yeye ameongeza mtoto wa tatu.

Shekhan yupo Sweden baada ya kuachana na soka la ushindani akaamua kuchukua uraia na kujikita kwenye maisha ya familia na hivi majuzi tu mkewe amejifungua mtoto (Pichani) akiwa na afya njema.

Hongera Shekhan Rashid

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI