YANGA KUJIPIMA NA JKU KESHO UHURU

Na Prince Hoza

Kikosi cha Yanga  jumamosi tar 10/12/2016 kitakuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya JKU  toka Zanzibar.
Mchezo utafanyika uwanja wa Uhuru utaanza saa 10 kamili jioni.

Kiingilio cha mchezo huo kitakuwa sh.5000/ kwa mzunguko na 10000/= kwa VIP.

Tiketi za mchezo huu zitakua ni za electroniki kwa kadi za Selcom.
Mchezo huu utatumika kumuaga kiungo Mbuyu Twite.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI