Taifa Jang' ombe yaifanyizia Jang' ombe Boys

Na Prince Hoza, Zanzibar

Timu ya Taifa Jang' ombe maarufu Wakombozi wa Ng' ambo usiku wa leo wameibuka na ushindi wa bao 1-0 katika uwanja wa Amaan Zanzibar mchezo wa ufunguzi kombe la Mapinduzi.

Ushindi huo umewapa nguvu Wakombozi hao wa Ng' ambo ambao Jumapili watacheza na Wekundu wa Msimbazi usiku wa saa 2:30 uwanja huo huo wa Amaan.

Michuano hiyo itaendelea tena Jumapili ya January mosi mwaka 2017 ambapo jioni ya saa 10: 00 KVZ na URA zitaumana na kufuatiwa na mchezo mwingine utakaopigwa usiku wa saa 2:30 Simba SC itakapocheza na Taifa Jang' ombe

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI