Southmpton yataka Pauni Milioni 40 kumwachia beki wake

Kazi bado ngumu katika mchakato wa kuinasa saini ya mlinzi mahiri Virgii Van Djik na Klabu yake imepanga mezani dau la Pauni Milioni 40 kwa timu yoyote ambayo inamwania staa huyo wa kimataifa wa Uholanzi.

Van Djik anafukuziwa na Liverpool, Chelsea na Manchester City huku pia timu yake ya Southmpton nayo ikitaka huduma yake kama kawaida

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI