Kipute Mapinduzi Cup kuanza leo, watani kufungua dimba

Na Prince Hoza, Zanzibar

Michuano ya kombe la Mapinduzi inatarajia kuanza leo katika uwanja wa Amaan Zanzibar, mchezo wa ufunguzi utapigwa usiku saa 2:00 kati ya watani wa jadi Taifa Jang' ombe na ndugu zao Jang' ombe Boys.

Wakati leo ukifanyika ufunguzi, kesho kutwa tarehe 1 January 2017 kutapigwa mechi mbili, jioni saa 10:00 KVZ ya Zanzibar itachuana na mabingwa watetezi URA ya Uganda na kufuatiwa na mchezo mwingine kati ya Wekundu wa Msimbazi Simba SC na Taifa Jang' ombe

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI