Juventus yamuwinda Kroos wa Real Madrid

Kule nchini Italia, Klabu ya Juventus ya Turin bado wanaendelea na mawindo yao ya kumnasa kiungo wa Real Madrid, Toni Kroos na wapo tayari kutoa hata Euro milioni 60 kwa ajili ya kiungo huyo Mjerumanj.

Na kama Real Madrjd itakataa kumuuza kiungo huyo kwa Juve, wataelekeza nguvu zao kwa Marco Verratti wa PSG au Ivan Rakitic wa Barcelona

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI