Samatta atupwa nje tuzo za mwanasoka bora Afrika

Na Salama Ngale

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania mbwana Ally Samatta (sama goal) ametupwa nje kwenye kinyang'anyiro cha kumpata mchezaji bora Afrika kwa mwaka 2016

Samatta ambaye alishinda tuzo ya mchezaji bora wa afrika kwa wchezaji wanaochezaligi za ndani ya afrika Mara hii alikua anagombea ya mchezaji bora Afrika anaye cheza soka la kulipwa.

Samatta alikua ana chana na wachezaji wengine kutokabaran Afrika kama vile Yaya Toure,Mohammed. salaah na Riyadh Mahrez.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI