Orlando Pirates wamfuata Pluijm Yanga

Na Mrisho Hassan, Dar es Salaam

Klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini imeweka bayana kwamba wanamchukua kocha anayetajwa kutemwa na mabingwa wa soka nchini Yanga SC, Mholanzi Hans Van der Pluijm.

Maofisa wa Pirates wamekiri kumuhitaji Pluijm kwakuwa ni mmoja kati ua makocha bora wanaofaa kuinoa Klabu hiyo kubwa barani Afrika.

Licha kwamba Pluijm bado ni kocha wa Yanga, lakini ujio wa George Lwandamina wa Zesco United unapelekea Mdachi huyo kutimka Yanga kwakuwa amekataa kazi ya Ukurugenzi wa ufundi

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI