Mzamiru Yassin awa mchezaji bora Simba

Na  Shabani Hussein, Dar es Salaam

Kiungo mshambuliaji Mzamiru Yassin amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Klabu ya Simba baada ya kuonyesha ufanisi mkubwa mwezi Oktoba.

Mzamiru ameshinda tuzo hiyo na atakabidhiwa zawadi yake ya uchezaji bora ambapo Wekundu hao wa Msimbazo watamkabidhi shilingi Lako tano.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI