Man United ilipoikosakosa Arsenal jana

Mpambano mkali na wa kusisimua kati ya Manchester United na Arsenal uliopigwa katika dimba la Old Trafford jijini Manchester.

Timu hizo zilifungana 1-1 Man U wanaonolewa na Jose Mourinho wakitangulia kupata bao la kuongoza lililofungwa na Huan Matta kabla ya Arsenal  kuchomoa kupitia kwa Okivier Giroud

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI