Dula Mbabe kumbe dereva bodaboda!

Na Prince Hoza, Dar es Salaam

Mwanamasumbwi anayekuja juu kwa sasa hapa nchini Abdallah Pazi maarufu Dula Mbabe amefichua siri kwamba kabla hajajikita kwenye ndondi alikuwa dereva bodaboda.

Akizungumza katika kipindi cha michezo cha Sportaiment kinachorushwa na Sibuka FM, amesema aliingia kwenye ndondi kwakuwa alikuwa na kipaji cha kupigana tangu zamani.

Ila mchezo huo umempa nafasi kubwa ikiwemo kufahamika ndani na nje ya nchi, lakini kazi yake inayomuingizia kipato ni kuendesha bodaboda, bondia huyo hivi karibuni alimdunda Mchina kwa TKO

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI