PICHA YA MANJI NA MANARA YAZUA UTATA MTANDAONI

Na Prince Hoza

Picha inayowaonyesha msemaji wa klabu ya Simba Hajji Sunday Manara na mwenyekiti wa klabu ya Yanga Yusuf Mehbood Manji inazidi kuwaacha hoi wapenzi wa soka nchini,

Picha hiyo ilianza kuenea katika mitandao ya kijamii na sasa imekuwa gumzo kila kulicha.

Vigogo hao wanatola timu mahasimu na zimekuwa zikichukiana lakini wameonyesha kwamba nje ya soka ni marafiki

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI