MESSI APIGA MECHI YA 100 CHAMPIONS LEAGUE, ROMA YAIGOMEA BARCELONA

Lionel Messi amefikisha mechi 100 za Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Barcelona ikilazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji wao AS Roma ya Italia.

ROMA (4-3-3): Szczesny (De Sanctis 50mins); Florenzi (Torosidis 85), Manolas, Rudiger, Digne; De Rossi, Keita, Nainggolan; Salah, Dzeko, Falque (Iturbe 82)
Subs not used: Totti, Maicon, Vainqueur, Gervinho
Goal: Florenzi 31
Booked: Nainggolan

BARCELONA (4-3-3): Ter Stegen; Roberto, Pique, Mathieu, Alba; Rakitic (Rafinha 62, Mascherano 65), Busquets, Iniesta; Neymar, Suarez, Messi
Subs not used: Bartra, Munir, Sandro, Adriano, Masip
Goal: Suarez 21
Booked: Pique


Referee: Bjorn Kuipers (Holland)
Attendance: 57,836

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI