RODGERS AMTULIZA GERRARD LIVERPOOL

Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amesisitiza kuwa hana mashaka na Steven Gerrard baada ya kupoteza michezo mitatu kati ya mitano.

Kapteni wa timu hiyo alihaha huku na kule kubadilisha upepo wa mchezo baada ya kutandikwa mabao matatu kwa moja siku ya jumamosi katika michuano ya ligi kuu ya England.


Rodgers amemsifu Gerrard kuwa ni mchezaji mzuri isipokuwa timu tu kwa ujumla haikufanya vizuri, Rodgers anaamini Gerrard bado ana mchango mkubwa katika timu hiyo.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI