PRESIDENT JAKAYA KIKWETE AKUTANA USO KWA USO NA DIAMOND NEW YORK
Rais Jakaya Mrisho Kikwete yupo kwenye safari zake za kikazi na Diamond yupo kwenye safari za show zake huko Marekani.
Diamond alipofika Manhattan ndani ya jiji la New York alikuta uso kwa uso na Rais Kikwete ambaye alikuwa katika ziara zake za kikazi.
Kama kawa picha mbili tatu zilihusika na Diamond ali-post picha kwenye insta na kuandika,”The President of United Republic of Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete and I…just few minutes ago in Manhattan, New York”.
Diamond alipofika Manhattan ndani ya jiji la New York alikuta uso kwa uso na Rais Kikwete ambaye alikuwa katika ziara zake za kikazi.
Kama kawa picha mbili tatu zilihusika na Diamond ali-post picha kwenye insta na kuandika,”The President of United Republic of Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete and I…just few minutes ago in Manhattan, New York”.