KANISA LAWATAKA WAUMINI WAKE KUFANYA MAZOEZI YA VIUNGO
Na Mariamu Libibo
UTAIPENDA tu: Kanisa la wasabato lililopo Tabata Mbuyuni jirani na maghorofa ya NSSF Aroma jijini Dar es Salaam limewataka waumini wake kufanya mazoezi mara kwa mara ili kuondokana na ugonjwa wa saratani ya matiti na kupunguza uzito wa mwili.
Mazoezi ya viungo yanasaidia kupunguza uzito pamoja na maradhi ya saratani ya matiti kwa akina mama, amesema Mtoa mada hayupo pichani
Wito huo umetolewa jana wakati mtoa mada akiwaelimisha waumini wa dhehebu hilo wakiwemo wamama na wababa waliofurika kumsikiliza mtoa mada huyo, aliwataka waumini hao kufanya mazoezi ya viungo kila siku ili kuondokana na maradhi ya saratani ya matiti inayoenea kwa kasi hapa nchini.
Pia amewataka kufanya mazoezi kwa ajili ya kupunguza uzito ambao hupelekea unene (Obbesite) na kupunguza mafuta machafu (Corestol) husababisha maradhi ya kisukari, presha na moyo, amewataka kufanya mazoeiz ya kukimbia au kuruka kamba kila siku kwani kufanya hivyo kutawasaidia.
UTAIPENDA tu: Kanisa la wasabato lililopo Tabata Mbuyuni jirani na maghorofa ya NSSF Aroma jijini Dar es Salaam limewataka waumini wake kufanya mazoezi mara kwa mara ili kuondokana na ugonjwa wa saratani ya matiti na kupunguza uzito wa mwili.
Mazoezi ya viungo yanasaidia kupunguza uzito pamoja na maradhi ya saratani ya matiti kwa akina mama, amesema Mtoa mada hayupo pichani
Wito huo umetolewa jana wakati mtoa mada akiwaelimisha waumini wa dhehebu hilo wakiwemo wamama na wababa waliofurika kumsikiliza mtoa mada huyo, aliwataka waumini hao kufanya mazoezi ya viungo kila siku ili kuondokana na maradhi ya saratani ya matiti inayoenea kwa kasi hapa nchini.
Pia amewataka kufanya mazoezi kwa ajili ya kupunguza uzito ambao hupelekea unene (Obbesite) na kupunguza mafuta machafu (Corestol) husababisha maradhi ya kisukari, presha na moyo, amewataka kufanya mazoeiz ya kukimbia au kuruka kamba kila siku kwani kufanya hivyo kutawasaidia.