PRINCE HOZA AANZA KAMPENI ZAKE

Mgombea nafasi ya katibu uchumi na fedha wa CCM tawi la Mtambani kata ya Tabata jijini Dar es Salaam Prince Hoza akizindua kampeni zake za kuwania kiti hicho hivi karibuni, Hoza anachuana na wanachama wenzake watatu, uchaguzi rasmi utafanyika Jumatano ijayo, (Picha na Charlse Chinguile)

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI