BALOTELLI ANG'ARA MILAN IKIIUA CAGLIARI

TIMU ya AC Milan imeifunga Cagliari mabao 2-1,shukrani kwao Mario Balotelli na Giampaolo Pazzini waliofunga mabao hayo.
 
 Ilikuwa furaha kwa kocha moya Clarence Seedorf baada ya vijana wake kulipiku bao la mapema la Marco Sau na kuibuka na ushindi huo.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI