JONAS MKUDE AAPA KUTOKA NA BAO JUMAPILI

Wakati homa ya mpambano wa watani wa jadi Yanga na Simba ukiwa unazidi kupamba moto, kiungo wa Simba Jonas Gerrard Mkude ameahidi na bao.


Akizungumza na mtandao huu, Mkude amesema lazime afunge katika mchezo huo ili kuwapa raha mashabiki wa Simba ambao wanazidi kumpa nguvu kwa sasa

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI