Feza Kessy, Nando wawakilisha TZ BBA

kijana mwanafunzi Nando aliyetokea masomoni nchini Uingereza.
 
Msimu mpya wa shindano Big Brother Africa 2013, ambalo msimu huu linakwenda kwa jina la 'The Chase', yalizinduliwa rasmi juzi nchini Afrika Kusini huku Tanzania ikiwakilishwa na mshiriki wa zamani wa Miss Tanzania, Feza Kessy, na kijana mwanafunzi Nando aliyetokea masomoni nchini Uingereza.

Mashindano hayo ambayo yanafanyika kwa mara ya nane mwaka huu, yanashirikisha jumla ya watu 24 kutoka katika nchi 14 za Afrika.

Washiriki hao wanatarajiwa kukaa ndani ya nyumba hiyo kwa muda wa siku 90 ambapo wataanza kuchujwa kuanzia mwishoni mwa wiki hii na mshindi wa mwaka huu ataondoka na kitita cha dola za Kimarekani

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI