BENITEZ KOCHA MPYA NAPOLI KWA MIAKA MIWILI

ALIYEKUWA kocha wa muda wa Chelsea, Rafa Benitez ametangazwa rasmi kuwa kocha mpya wa Napoli kwa mkataba wa miaka miwili.

Deal: Rafa Benitez shaking hands with Napoli president Aurelio de LaurentiisMspanyola huyo mwenye umri wa miaka 53 alikutana na Rais wa klabu hiyo, Aurelio de Laurentiis


 Jijini London ambaye alithibitisha kwenye ukurasa wake wa Twitter: "Rafa Benitez sasa ni kocha mpya wa Napoli. Mtu mwenye uzoefu mkubwa wa kimataifa. Kiongozi,".
Mtayarishaji huyo wa filamu, De Laurentiis dili ilikuwa likamilishwe tangu Ijumaa iliyopita, lakini walilazimika kufanya subira, ili kwanza Benitez akamilishe majukumu yake Chelsea.
Benitez aliyeikuta Chelsea katika hali mbaya baada ya kufukuzwa kwa Mtaliano Roberto Di Mateo anaiacha vizuri timu na Kombe la Europa League sambamba na nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa.
Chelsea sasa inarudi mikononi mwa kocha wake wa zamani na kipenzi cha mashabiki wa Stamford Bridge, Mreno, Jose Mournho anayeondoka Real Madrid
ALIYEKUWA kocha wa muda wa Chelsea, Rafa Benitez ametangazwa rasmi kuwa kocha mpya wa Napoli kwa mkataba wa miaka miwili.
Mspanyola huyo mwenye umri wa miaka 53 alikutana na Rais wa klabu hiyo, Aurelio de Laurentiis Jijini London ambaye alithibitisha kwenye ukurasa wake wa Twitter: "Rafa Benitez sasa ni kocha mpya wa Napoli. Mtu mwenye uzoefu mkubwa wa kimataifa. Kiongozi,".
Mtayarishaji huyo wa filamu, De Laurentiis dili ilikuwa likamilishwe tangu Ijumaa iliyopita, lakini walilazimika kufanya subira, ili kwanza Benitez akamilishe majukumu yake Chelsea.
Benitez aliyeikuta Chelsea katika hali mbaya baada ya kufukuzwa kwa Mtaliano Roberto Di Mateo anaiacha vizuri timu na Kombe la Europa League sambamba na nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa.
Chelsea sasa inarudi mikononi mwa kocha wake wa zamani na kipenzi cha mashabiki wa Stamford Bridge, Mreno, Jose Mournho anayeondoka Real Madrid. 

Mpango mzima: Rafa Benitez akipeana mikono na Rais wa Napoli, Aurelio de Laurentiis

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA