XAVI AMKANA BALE, ADAI THAMANI HAIWEZI KUFIKA MILIONI 90
Kiungo huyo wa Hispania amenukuliwa akisema kwamba bado hajamuangalia vizuri nyota huyo wa Spurs kiasi cha kumfanya kutoa maoni yake kuhusu kutakiwa kwake na Real Madrid.
KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI TUPIGIE KWA SIMU NAMBA 0755-522216 AU NJOO OFISINI KWETU TABATA RELINI AMA WAWEZA KUTUTUMIA BARUA PEPE princehoza@gmail.com