Kibwana Shomari kumrithi Kapombe, Simba
Klabu ya Simba imeonyesha uhitaji wa kuipata huduma ya mlinzi wa kulia Kibwana Shomari ambaye anamaliza kandarasi yake mwisho wa msimu huu na waajiri wake Yanga SC ila hawajafikia mahitaji anayohitaji mlinzi huyo, Simba SC kuihitaji huduma ya mlinzi huyo ila wameweka dau dogo sana kwenye ada ya usajili japo imefahamika Simba SC wamepanga kuongeza dau.