Huyu anaitwa Ally Pazi Samatta Baba yake Mbwana Samatta Huyu Mzee alizaliwa 1943 Mkoani Pwani. Enzi yake alikuwa mwajiliwa wa jeshi la Polisi Mzee Samatta alicheza sehemu ya ushambuliaji namba 10. Timu alizochezea timu ya Polisi Moro 1962- 1963 Canada Dry 1963-1964 Simba (Sunderland) 1964-1965 Cosmopolitan 1968-1969. Pia alichezea timu ya Taifa, Taifa Stars na ile ya bara
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com