Azam FC kumpiga bei Feitoto msimu ujao

Baada ya kiungo mshambuliaji Feisal Salum (26) kukataa kuongeza mkataba mpya wa miaka miwili katika klabu ya Azam

Azam wamepanga kumuweka sokoni kiungo huyo katika dirisha kubwa lijalo la uhamisho

Ofa zitakazopewa kipaumbele zaidi ni kutoka nje, ingawa Fei mwenyewe anataka kucheza Simba timu ambayo ipo moyoni mwake licha kwamba alichezea Yanga


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI