Zuchu amzawadia gari Anjela

Msanii maarufu wa lebo ya WCB Zuchu amemzawadia gari aina ya Crown msanii mwenzake Anjela aliyekuwa lebo ya Konde Gang iliyochini ya Harmonize.

Japo wengi walidhani ni mzaha na kiki, Msanii wa Bongofleva Zuchu ametimiza ahadi ya kumnunulia msanii mwenzake Anjela gari aina ya Crown

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI