Kocha wa Mtibwa Sugar ashangaza kwa kutumia fimbo

Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar Melis Medo amekuwa akitumia fimbo katika Uwanja wao wa mazoezi Manungu Complex, Morogoro.

Mtibwa Sugar inayoshiriki Championship msimu huu imekuwa na mwalimu huyo ambaye anapenda kutumia fimbo katika ufundishaji wake.

Kocha huyo raia wa Marekani alivyokuwa anakinoa kikosi cha Coastal Union ya Tanga alikuwa akitumia fimbo hiyo katika Viwanja vya Popatraly.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI