MVP wa Simba aumia ghafla, kuikosa Al Hilal kesho

Taarifa za kuaminika ni kuwa kiungo mshambuliaji Jean Charles Ahoua atakosekana katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki kati ya Simba dhidi ya Al Hilal ya Sudan.

Jean Charles Ahoua atakosekana katika mchezo huo kwasababu ya majeraha ambayo ameyapata.

Wakati huo huo kiungo mwingine wa Simba, Mkongoman Fabrice Ngoma ataukosa mchezo huo baada ya kuondoka kikosini kuelekea nyumbani kwao DR Congo ambapo ana matatizo ya kifamilia


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI