UEFA kumpa tuzo maalum Cristiano Ronaldo

Cristiano Ronaldo atapokewa tuzo maalumu kutoka Chama cha soka Barani ulaya(UEFA) ya kuwa mchezaji bora wa muda wowote katika mashindano ya ligi ya mabingwa na kuwa mfungaji wa muda wowote wa mashindano ya ligi ya mabigwa barani ulaya.

Tuzo hiyo atapewa siku ya Alhamisi ambapo itakuwa na sherehe za upangaji wa makundi ya ligi ya mabingwa ulaya yatayofanyika Monacco.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI