Hatimaye Haji Manara awa Mtendaji mkuu wa hamasa Yanga Fans

Uongozi wa klab ya Yanga rasmi umembadilishia majukumu aliyekuwa msemaji wa Yanga Haji Sunday Manara na kuwa Mtendaji mkuu wa Kitengo hamasa ndani ya Yanga FANS ENGAGEMENTS,

Sasa Haji anaenda Kuongeza Nguvu ili kuisaidia Mabadiliko ndani ya klab ya Yanga kwenye zoezi la Usajili wa wanachama na mashabiki wa Yanga.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI