Boka, Baleke ruksa kuivaa CBE

Wachezaji, Chadrack Boka na Jean Baleke baada ya kukosa michezo ya awali CAF Champions League sasa wako huru kucheza hatua inayofuata CAF champions League.

ITC za Chadrack Boka na Baleke zilichelewa kufika, zilifika wakati ambao dirisha la CAF likiwa limefungwa.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI