Pyramids mabingwa wa Misri, Mayele ahusika

Mshambuliaji Fiston Mayele raia wa DR Congo, amekuwa na msimu mzuri baada ya kuisaidia timu yake ya Pyramids ya Misri kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

Mayele amrhusika kwa asilimia 100 timu hiyo kushinda ubingwa huu kwani yeye ndiye chachu kubwa ya timu kuhahakisha inapata ushindi wastani kwa kila mechi.

Mshambuliaji huyo aliyejiunga na timu hiyo mwanzoni mwa msimu huu akitokea Yanga SC ya Tanzania ambayo nayo aliipa ubingwa misimu miwili mfululizo, mpaka msimu unamalizika, Mayele aliibuka mfungaji bora wa klabu hiyo.

Mayele amefunga magoli 17 ambapo pia ameweza kuwa mfungaji bora namba mbili wa ligi ya nchi hiyo


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI