AFL KUFANYIKA MWAKANI AFRIKA KUSINI, SIMBA NA YANGA NDANI


Shirikisho la soka Afrika, CAF limetoa orodha ya vilabu (24) vitakavyoshiriki michuano ya African Football League itakayofanyika mwaka ujao nchini Afrika Kusini kuanzia Januari 11 mpaka 9 Februari 2025.

CECAFA ZONE (4) :

Young Africans SC
Simba SC
Al-Hilal Omdurman
Al-Merrikh

COSAFA ZONE (4)

Mamelodi Sundowns
Orlando Pirates
Petro Atletico de Luanda
Marumo Gallants

UNAF ZONE (8) :

Al Ahly Cairo
Wydad Casablanca
RS Berkane
Zamalek SC
Raja Casablanca
USM Alger
CR Belouizdad
Esperance Tunis

UFOA & UNIFFAC ZONE (8) :

TP Mazembe
ASEC Mimosas
Horoya AC
Rivers United
Cotton de Garoua FC
Nouadhibou
AS Vita Club
Enyimba

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI