Mdaka mishale wa Simba aitwa timu ya taifa

Golikipa wa Simba SC Moussa Pinpin Camara (25) ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Guinea kitakachocheza mechi mbili za kufuzu AFCON 2025.

Mchezo wao dhidi ya DR Congo na Tanzania, Camara anatajwa kuwa kipa namba mbili wa timu ya taifa


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI