AL AHLI TRIPOLI YARUHUSIWA KUMTUMIA MABULULU, SIMBA KAZI WANAYO


Klabu ya Al-Ahli Tripoli imethibitisha kuwa wamepata kibali kutoka CAF cha kumtumia mshambuliaji wao mpya Mabululu,

Mabululu alisajiliwa katika dirisha hili kubwa lililopita akitokea Al-Ittihad ya Egypt hakucheza mechi yoyote kwa sababu hakuwa na vibali, wameruhusiwa kumtumia kuanzia mechi zijazo za CAF.

Takwimu zake za ligi kuu ya Egypt akiwa Al-Ittihad katika misimu 3

Season : 23/24
Magoli 11 (mfungaji wa sita)
Assist 5

Season : 22/23
Magoli 16
Asist 1

Season : 21/22
Magoli 13
Assist 2


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI