Simba Queens yaangukia nafasi ya nne CECAFA

Timu ya Simba Queens imeambulia nafasi ya nne katika mashindano ya CECAFA Winners Cup kwa wanawake baada ya kufungwa mabao 2-0 na timu ya Kawempe Muslim.

Mabingwa hao wa ligi ya wanawake Tanzania, imeshundwa kushangaza kwa kutupwa mapema kwenye michuano hiyo ambapo bingwa wake anakwenda kushiriki Ligi ya mabingwa Afrika.

Msimu juzi Simba Queens ilienda kushiriki michuano hiyo ya Afrika na ilifika hadi nafasi ya nne, kushindwa kwa mwaka huu kumezua sintofahamu nyingi kwa wapenzi wa soka la wanawake na isitoshe timu imeandaliwa vizuri


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI