Awesu Awesu akiwa na ndinga lake

Kiungo mshambuliaji wa Simba SC Awesu Ally Awesu ameposti akiwa na ndinga lake (crown) alilonunua baada ya kusajiliwa na Wekundu hao wa Msimbazi.

Baadhi ya watu wanasema kwamba gari aliloposti Awesu alinunuliwa na Rais wa Yanga, Injinia Hersi, ingawa hakuna uhakika kama ni kweli.

Mambo Uwanjani Blog inafahamu kwamba Awesu amevuna mpunga wa maana Simba SC


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI