Ateba kutesti mitambo na Al Hilal Omdurman


Mshambuliaji mpya wa Club ya Simba SC raia wa Cameroon Leonel Ateba Mbida atatumia jezi namba 13 akiwa Simba SC.

Atacheza kwa mara ya kwanza akiwa katika jezi ya Mnyama kesho Jumamosi dhidi ya Al Hilal Omdurman katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI